SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,904
Mageuzi ni kila mahali mwaka huu. Obama jahazi linaenda mrama na anaweza asirudi 2012!..... na CCM tunaisubiri tuitose.
Can't wait siku CCM nayo itakaa bench then ndio mtie akili na mkome kabisa kuwa-take watanzania for granted, kuibia watu na kudanganya wazalendo. Ole wenu katiba ikibadilishwa na kuwa fair kwa vyama vyote mmekwisha:israel:
Can't wait siku CCM nayo itakaa bench then ndio mtie akili na mkome kabisa kuwa-take watanzania for granted, kuibia watu na kudanganya wazalendo. Ole wenu katiba ikibadilishwa na kuwa fair kwa vyama vyote mmekwisha:israel: