prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Ni maneno ya wabunge vilaza na omba omba wa ccm-magamba wakihadaa watz kuwa rais obama atakuja na zawadi, hivi watz ni wajinga kiasi gani kutegemea zawadi kwa wazungu?taifa tegemezi haiwezi kuwasaidia wananchi wake tuikatae ccm kwa upuuzi huu!