Obama atakuja na zawadi

Obama atakuja na zawadi

prof.mutunga

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
341
Reaction score
60
Ni maneno ya wabunge vilaza na omba omba wa ccm-magamba wakihadaa watz kuwa rais obama atakuja na zawadi, hivi watz ni wajinga kiasi gani kutegemea zawadi kwa wazungu?taifa tegemezi haiwezi kuwasaidia wananchi wake tuikatae ccm kwa upuuzi huu!
 
Hivi watz ni wajinga kiasi gani? Mpaka tunashobokea ujio wa obama as if kwamba yeye anatulisha? Source hotuba ya charles mwijage mbunge kilaza wa muleba, tujisifie kwa raslimali zetu-jk aache kutembeza bakuli mpaka kwa wajamaica!
 
Mhaya ni mhaya tu hatobadilika ... Anatetea kumiliki NOAH lol!
 
Ni maneno ya wabunge vilaza na omba omba wa ccm-magamba wakihadaa watz kuwa rais obama atakuja na zawadi, hivi watz ni wajinga kiasi gani kutegemea zawadi kwa wazungu?taifa tegemezi haiwezi kuwasaidia wananchi wake tuikatae ccm kwa upuuzi huu!

kasema Raisi wetu anapendwa wachina wameleta zawadi na sera za Afrika alizitangaza akiwa Tanzania na sasa Obama anakuja Tanzania analeta zawadi Power for Africa ataitangaza akiwa Tanzania
sijui kama anajifahamu jinsi tulivyokatikati ya kulazimishwa kufuata matakwa ya hawa vibosile wawili kwa kukosa misimamo na uwezo wakuendesha maendeleo yetu
 
atakuja na zawadi ya NETI na sisi tutampa Zawadi ya URENIUM.
CCM OYEEEEE
 
Hahaha aisee imentia hasira kweli kweli
 
Ati obama kaona mazuri tz ndio maana anakuja tz kwann? Asiende venezuela? Cuba?au tz is darling of western counties? Iko cku ccm ikiendelea kutawala wazungu watatuoa tena watanza na rais,mawaziri,wabunge, watatumalzia wananchi, be careful mtz!
 
Tunaendesha familia kwa kutegemea misaada ya majirani! tuepeke kikombe hiki.
 
Kama Nyerere angefufuka leo! angetembeza viboko ikuru mpaka basi, maana kama mwanafunzi ni mbumbumbu, cha maana ni kufaidi kumtandika...maana hakuna njia yoyote itakayo msaidia...Hivi mpaka leo hii ituna tukuza awageni?
Mbona rais wetu akienda huko kwao wala hakuna anaye jua, watu wanaendelea na shughuri zao...Alafu tusicho jua au ambacho tunajifanya hatujui, wanacho chukua ni kikubwa mara dufu kuliko wanacho toa... Hivyo kwa maana hii mtu mweusi ni kama amelaaniwa... pamoja na maliasili kibao alizo mpa Mungu bado anasujudia watu weupe na kuwalamba miguu!
Poor Tanzania!
 
Ni maneno ya wabunge vilaza na omba omba wa ccm-magamba wakihadaa watz kuwa rais obama atakuja na zawadi, hivi watz ni wajinga kiasi gani kutegemea zawadi kwa wazungu?taifa tegemezi haiwezi kuwasaidia wananchi wake tuikatae ccm kwa upuuzi huu!

Hata shanga za kiunoni ni zawadi. Lakini je, are they worthy?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
ccm is impotent by its system, tokea lini mama akasifia ujio wa baba wa jirani?ina mana mumeo hamtoshelezi huyo mama!

Labda anampa zawadi mumewe anapokuwa kasafiri.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Ni maneno ya wabunge vilaza na omba omba wa ccm-magamba wakihadaa watz kuwa rais obama atakuja na zawadi, hivi watz ni wajinga kiasi gani kutegemea zawadi kwa wazungu?taifa tegemezi haiwezi kuwasaidia wananchi wake tuikatae ccm kwa upuuzi huu!
tana cha ajabu ni pale tu,aliposema zawadi wabunge wote wa ccm walishangilia na kupiga makofi, hii ni ajabu ya mwaka.wabunge hawa hawastahili kurudi bungeni, isipokuwa Olesendeka na vile vichwa vitatu vinavyoeleweka kwa kila mtu mwenye kuitakia mema nchi yetu
 
Anakuja na "condoml sisi tunampa "uranium"

thithiem pumba*** kabitha.
 
Back
Top Bottom