.....Peter Noni wa EPA na Mchechu wa Chenge??? wale waleeeee!!! the fact is......watu wa CCM wamejiminisha kwamba watanzania ni watu wa kupiga kelele mcha na usiku tunalala yaani tumeshazoea kuibiwa so hao wezi hawaogopi kufanya blunder au scandal yoyote!!! nipo tayari kwa........, who wants to join me?