Nzi ndani ya Studio Jiji Letu Jana-ITV

Nzi ndani ya Studio Jiji Letu Jana-ITV

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,734
Reaction score
9,916
Aisee hii sio mara ya kwanza nikiangalia kipindi cha Jiji Letu na kuona mtangazaji akisumbuliwa na Nzi usoni huku akilazimisha kumfukuza kwa bodylanguage ili asiharibu lakini wapi Nzi nao wanakomaa tu
Kuna siku Jackline nae alikumbana na hili.
Jana Rehema Salim nae akakumbana na kimbembe Inzi wakawa wanamsumbua usoni,mara mdomoni,mara puani.akajaribu kuchezanao kwa ishara ila Inzi akakomaa.
Ni Aibu sana kwa chombo cha habari kikubwa kama hiki,kwa kweli,naomba wahusika mjipange.
Kuna Taa zinauwezo wa kufukuza Nzi na kumfanya Inzi asiwe rafiki wa eneo husika.
la Sivyo kuna siku mtangazaji atakata kipindi,maana Inzi akiingia mdomoni hapo inakuwa mwisho tena
 
Ni kweli, haipendezi wadudu kama nzi, mbu, mende, panya, nk, kuonekana studio. Hapa kwa bahati watazamaji wameshuhudia nzi, kwa mazingira hayo yawezekana hata panya na wengine wakwepo. ITV wahakikishe usafi wa ofisi zao, maana wao ni kioo cha jamii.
 
Aisee hii sio mara ya kwanza nikiangalia kipindi cha Jiji Letu na kuona mtangazaji akisumbuliwa na Nzi usoni huku akilazimisha kumfukuza kwa bodylanguage ili asiharibu lakini wapi Nzi nao wanakomaa tu
Kuna siku Jackline nae alikumbana na hili.
Jana Rehema Salim nae akakumbana na kimbembe Inzi wakawa wanamsumbua usoni,mara mdomoni,mara puani.akajaribu kuchezanao kwa ishara ila Inzi akakomaa.
Ni Aibu sana kwa chombo cha habari kikubwa kama hiki,kwa kweli,naomba wahusika mjipange.
Kuna Taa zinauwezo wa kufukuza Nzi na kumfanya Inzi asiwe rafiki wa eneo husika.
la Sivyo kuna siku mtangazaji atakata kipindi,maana Inzi akiingia mdomoni hapo inakuwa mwisho tena

Inawezekana Huyo Mtangazaji ALIJAMBA au Wazaramo Wanasema ALIUKWEKA Kwani Nijuavyo Inzi Akikung'ang'ania Sana Na Mno Ujue Umejamba AU Hujachamba AU Ameshahisi Kuwa Muda Si Mrefu Utabadili Hali Ya Hewa Na Inzi Ni Mzuri Sana ktk Kuumbua!
 
Ni kweli, haipendezi wadudu kama nzi, mbu, mende, panya, nk, kuonekana studio. Hapa kwa bahati watazamaji wameshuhudia nzi, kwa mazingira hayo yawezekana hata panya na wengine wakwepo. ITV wahakikishe usafi wa ofisi zao, maana wao ni kioo cha jamii.

Na Kibaya au Kizuri Zaidi Bosi Wao BABA MAPACHA ndiyo Taita Wa NEMC................Ama Kweli Mganga Hajigangi!!!!!!!!!!!
 
Aisee hii sio mara ya kwanza nikiangalia kipindi cha Jiji Letu na kuona mtangazaji akisumbuliwa na Nzi usoni huku akilazimisha kumfukuza kwa bodylanguage ili asiharibu lakini wapi Nzi nao wanakomaa tu
Kuna siku Jackline nae alikumbana na hili.
Jana Rehema Salim nae akakumbana na kimbembe Inzi wakawa wanamsumbua usoni,mara mdomoni,mara puani.akajaribu kuchezanao kwa ishara ila Inzi akakomaa.
Ni Aibu sana kwa chombo cha habari kikubwa kama hiki,kwa kweli,naomba wahusika mjipange.
Kuna Taa zinauwezo wa kufukuza Nzi na kumfanya Inzi asiwe rafiki wa eneo husika.
la Sivyo kuna siku mtangazaji atakata kipindi,maana Inzi akiingia mdomoni hapo inakuwa mwisho tena

inasababisha madawa wanayopakaa kwenye nywele zao mpaka zinanuka
 
hahaha nimejikuta navuta picha alafu nacheka mwenyewe
 
Na Kibaya au Kizuri Zaidi Bosi Wao BABA MAPACHA ndiyo Taita Wa NEMC................Ama Kweli Mganga Hajigangi!!!!!!!!!!!
Kwani mzee Mengi ana mapacha? Mke wake lini kajifungua hao mapacha au mchepuko.
 
kuna siku mwandishi wa habari wa kituo flani alipiga bonge moja la chafya then akasema KUMRADHI!... dah!!! hatari sana hawa watu
 
Kwani mzee Mengi ana mapacha? Mke wake lini kajifungua hao mapacha au mchepuko.

Kwani Uko Dunia Gani Mpaka Haya Yote Yanakupita. Acha Klyne Ajilie Hela Kiulaini. In Short Ana Mapacha Kwa Miss Mchongoko Wa Kigoma Ntuyabaliwe
 
kuna siku mwandishi wa habari wa kituo flani alipiga bonge moja la chafya then akasema KUMRADHI!... dah!!! hatari sana hawa watu

yuko sahihi! au mawazo yako ni yepi angesemaje/fanyaje?
 
ah ah ah,kujikausha sio issue!! ingetakiwa apambane nae live watu wote tujue nzi kaingia studio!!!angeingia mdomoni angekausha wakati watu tunamwona anameza nzi mzima mzima?
 
Dah,bahati mbaya sijafuatilia hiko kipindi ila nitafuatilia marudio,bila shaka wahusika ujumbe wameupata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom