Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,381
- 3,145
Oyaa wakuu
Wazee sijui hawanielewi
Wamenipa 2 yrs nipeleke babe mama,
baada ya kuwa sister kachumbiwa maan tuko wawili tu, nilibaki nachekacheka tu.
Hawajui nimeshapigwa na vitu vizito na hawa vipepeo wa dunia,
Uchumi bado hauko stable , pesa inanitosha mwenyewe.
Ingawa nina vipepeo viwili ila bado sijaona wala kuwaza kama wanafit , still na zoom
Mambo ya kuoa mapema kwakweli hayajanibariki, nahitaji kula maisha kwanza, ingawa family ni muhimu.
Wazee sijui hawanielewi
Wamenipa 2 yrs nipeleke babe mama,
baada ya kuwa sister kachumbiwa maan tuko wawili tu, nilibaki nachekacheka tu.
Hawajui nimeshapigwa na vitu vizito na hawa vipepeo wa dunia,
Uchumi bado hauko stable , pesa inanitosha mwenyewe.
Ingawa nina vipepeo viwili ila bado sijaona wala kuwaza kama wanafit , still na zoom
Mambo ya kuoa mapema kwakweli hayajanibariki, nahitaji kula maisha kwanza, ingawa family ni muhimu.