Miaka ya 90's nilikuwa maeneo ya Mang'ula B tulikuwa tunaenda kucheza mechi za mpira wa miguu Mang'ula A. Ila sasa hivi hata ramani za huko sizikumbuki.
Nimeishi sana kijiji kimoja hivi kinaitwa msalise na nilianza dara la kwanza huko msalise shule ya msingi mwaka 1992.