Nyumba zinauzwa Chanika

Nyumba zinauzwa Chanika

kkarumekenge

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
1,708
Reaction score
1,030
Nyumba moja kubwa yenye vyumba vinne (vyote self-contained) inauzwa. Ipo Chanika, Masantula. Ina nyumba ndogo ya uani yenye vyumba vitatu, viwili vinatumia sebule moja. Nyumba hiyo imo katika eneo la mita 60 kwa 54. Ina umeme, kisima cha maji na mabada mawili ya kufugia kuku. Eneo lake lina migomba, mipapai na mipera. Nyumba ya uani ina stoo mbili na choo. Ni karibu na barabara,mita 500. Mnunuzi makini anaehitaji awasiliane kwa simu: 0753700821, 0768673704
 
sio mahali pake bro!,ili upate w2 peleka jukwaa la bzness na uchumi or habari mchanganyiko
 
Nyumba moja kubwa yenye vyumba vinne (vyote self-contained) inauzwa. Ipo Chanika, Masantula. Ina nyumba ndogo ya uani yenye vyumba vitatu, viwili vinatumia sebule moja. Nyumba hiyo imo katika eneo la mita 60 kwa 54. Ina umeme, kisima cha maji na mabada mawili ya kufugia kuku. Eneo lake lina migomba, mipapai na mipera. Nyumba ya uani ina stoo mbili na choo. Ni karibu na barabara,mita 500. Mnunuzi makini anaehitaji awasiliane kwa simu: 0753700821, 0768673704

Taja bei stahili
 
Weka kapicha kidogo tuone, tupe na bei pia mkuu
 
Tuwekee bei na picha kadhaa. Kumbuka kwamba JF inasomwa na Watanzania waliopo ndani na nje ya Tanzania. Kuweka picha na bei inawarahisishia wale waliopo nje ya nchi kufanya maamuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom