apartments
Member
- Jun 7, 2013
- 16
- 1
Nyumba zipo kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha daladala,ni nyumba mbili ambazo hazijawahi kupangisha kwa maana nyengine ni mpya kabisa.
1.Nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu,chumba kimoja master,public toilet and bath room,kitchen,store,sitting room and dining room,vibaraza viwili mbele na nyuma. bei 250,000 kwa mwezi
2.Nyumba ya pili ina vyumba viwili kimoja master,public toilet and bath room,sitting room and dinning room,kitchen,vibaraza viwili mbele na nyuma.bei 200,000 kwa mwezi
hakuna dalali piga simu hii uwasiliane moja kwa moja na mwenyenyumba 0767 021 882 or 0787 021 882.karibu sana.maongezi yapo.
1.Nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu,chumba kimoja master,public toilet and bath room,kitchen,store,sitting room and dining room,vibaraza viwili mbele na nyuma. bei 250,000 kwa mwezi
2.Nyumba ya pili ina vyumba viwili kimoja master,public toilet and bath room,sitting room and dinning room,kitchen,vibaraza viwili mbele na nyuma.bei 200,000 kwa mwezi
hakuna dalali piga simu hii uwasiliane moja kwa moja na mwenyenyumba 0767 021 882 or 0787 021 882.karibu sana.maongezi yapo.