Nyumba zinapangishwa Dsm

uncle dalali naweza pata nyumba mitaa ya Mbezi barabara ya Tangi bovu kuanzia mitaa hiyo mpaka SalaSala room 2 jiko sebule choo bafu kwa laki 2 unusu kwa mwezi?
 
Natafuta sana Chumba na sebule choo cha ndani. Bajeti yangu 100 mpaka 140.
Maeneo ya Kuanzia Lugalo, Tangi bovu, Tegeta kwa ndevu, Kunduchi.
Namba yangu 0752565852
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom