WanaJF,
Kuna nyumba mbili zauzwa jijini DSM eneo la kipunguni-mashariki jirani ya kitunda kama ifuatavyo:-
1. NYUMBA YA KWANZA
Ina vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sitting rum, veranda, internal toilets, well fenced. Bei yake ni tsh: 40,000,000/=
NB: Haina eneo la ziada kwa kuendeleza chochote, nyumba hii ni kubwa.
Kwa mawasiliano: 0652-685070
2. NYUMBA YA PILI
Ni ndogo na ni ya uwani, ina vyumba 3, ina sebule ndogo, ina car parking, ina minor veranda,
NB: Ina eneo kubwa lenye uwezo wa kujenga nyumba kubwa 2 na zote zikawa fenced, bali pia sehemu kubwa ya garden inawezekana kuwekwa. Bei ni tsh: 45,000,000/=
Kwa mawasiliano: 0715-988888.
Maeneo haya yote ni HAYAJAPIMWA na yalikuwa ni mashamba ya minazi/mikorosho,
Hizo nyumba bado zipo, zina eneo zuri la kuendeleza hata ujenzi mwingine. Itokeapo kuhamishwa ni sharti tathmini itolewe upya na malipo ni ya viwango vya wakati husika.
Lakini ni makazi mazuri na tulivu japo walevi wa gongo wanayumba barabarani na baiskeli zao za mayai.
wanajf,
kuna nyumba mbili zauzwa jijini dsm eneo la kipunguni-mashariki jirani ya kitunda kama ifuatavyo:-
1. Nyumba ya kwanza
ina vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sitting rum, veranda, internal toilets, well fenced. Bei yake ni tsh: 40,000,000/=
nb: Haina eneo la ziada kwa kuendeleza chochote, nyumba hii ni kubwa.
Kwa mawasiliano: 0652-685070
2. Nyumba ya pili
ni ndogo na ni ya uwani, ina vyumba 3, ina sebule ndogo, ina car parking, ina minor veranda,
nb: Ina eneo kubwa lenye uwezo wa kujenga nyumba kubwa 2 na zote zikawa fenced, bali pia sehemu kubwa ya garden inawezekana kuwekwa. Bei ni tsh: 45,000,000/=
kwa mawasiliano: 0715-988888.
maeneo haya yote ni hayajapimwa na yalikuwa ni mashamba ya minazi/mikorosho,