Nyumba za Serikali: Jipu linalomsubiri mtumbuaji

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Serikali ya awamu ya kwanza chini ya Hayati Mwalimu Nyerere ilitenga maeneo maalum ya kiserikali. Humo yalijengwa majengo mbalimbali ya kiserikali kama nyumba za kuishi, masoko na kadhalika.

Nyumba za kuishi ziliwalenga hasa watumishi wa Serikali walio kazini. Lengo lilikuwa kuwaweka pamoja na kuwarahisishia ulinzi wa pamoja na urahisi wa kufika kazini. Watumishi wa umma walio kazini waliwekwa kwenye nyumba za serikali ili waishi humo.

Nyumba za serikali zilipigwa bei/kuuzwa wakati wa Serikali ya awamu ya tatu. Ikasemwa na kuandikwa kuwa nyumba hizi za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupa na bila kufuata utaratibu uliopaswa kufuatwa. Wakauziwa wasiostahili; waliostahili wakazikosa.

Sasa, viongozi wa kiserikali kama Mawaziri, Majaji na wengineo wanaishi walipobarikiwa kupata makazi. Huyu anaishi hapa, huyu pale; na huyu kule. Mambo ni shaghalabaghala. Hata ulinzi na upatikanaji wa watumishi hawa unakuwa wa mashaka.

Hili ni jipu. Kimchakato. Anasubiriwa mtumbuaji alitumbue!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Magu nae ni jipu Watumishi wanalala nje lakini jamaa aliuza nyumba za serikali na zingine kugawia kwa akina Nifah Mamndenyi FaizaFoxy balaa tupu

swissme
 
Naona sasa unavuka mipaka,angalia tu hapo lumumba wasije kukutimua
maana sasa tuko kwenye msimu wa kushangilia na kusifia sasa wewe unataka kuaribu hii singo
 
Serikali ya awamu ya kwanza chini ya Hayati Mwalimu Nyerere ilitenga maeneo maalum ya kiserikali. Humo yalijengwa majengo mbalimbali ya kiserikali kama nyumba za kuishi, masoko na kadhalika.

Nyumba za kuishi ziliwalenga hasa watumishi wa Serikali walio kazini. Lengo lilikuwa kuwaweka pamoja na kuwarahisishia ulinzi wa pamoja na urahisi wa kufika kazini. Watumishi wa umma walio kazini waliwekwa kwenye nyumba za serikali ili waishi humo.

Nyumba za serikali zilipigwa bei/kuuzwa wakati wa Serikali ya awamu ya tatu. Ikasemwa na kuandikwa kuwa nyumba hizi za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupa na bila kufuata utaratibu uliopaswa kufuatwa. Wakauziwa wasiostahili; waliostahili wakazikosa.

Sasa, viongozi wa kiserikali kama Mawaziri, Majaji na wengineo wanaishi walipobarikiwa kupata makazi. Huyu anaishi hapa, huyu pale; na huyu kule. Mambo ni shaghalabaghala. Hata ulinzi na upatikanaji wa watumishi hawa unakuwa wa mashaka.

Hili ni jipu. Kimchakato. Anasubiriwa mtumbuaji alitumbue!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 

Swali ni je,taratibu zilifutwa?Waliouziwa ndio waliostahili kuuziwa?Waliozinunua wanazingatia mashariti ya mkataba? Kama hawakuzingatia kwanini hawachukuliwa hatua?Na kama hawachukuliwi hatua,ni uzembe wa nani kama sio serikali?
 
Swali ni je,taratibu zilifutwa?Waliouziwa ndio waliostahili kuuziwa?Waliozinunua wanazingatia mashariti ya mkataba? Kama hawakuzingatia kwanini hawachukuliwa hatua?Na kama hawachukuliwi hatua,ni uzembe wa nani kama sio serikali?
SUMAYE NDIYE ALIYEKUWA BOSS WA MAGUFULI NA MPAKA LEO YUPO NA YUKO HAI,KWANINI MSIMHOJI HUYO.NAMSHUKURU MUNGU MIMI SIYO MMOJA WA NYUMBU.

 
Kwanini tumhoji sumaye? Mbona majipu yanayotumbuliwa hatujawahoji mabosi wa waliotumbuliwa? Kwani bosi wa Bw. Kabwe ni nani he kahojiwa? Acha siasa za kijinga kwenye hoja muhimu
 
Swali ni je,taratibu zilifutwa?Waliouziwa ndio waliostahili kuuziwa?Waliozinunua wanazingatia mashariti ya mkataba? Kama hawakuzingatia kwanini hawachukuliwa hatua?Na kama hawachukuliwi hatua,ni uzembe wa nani kama sio serikali?
Hilo swali aulizwe Sumaye, ndo alikuwa PM
 
Swali ni je,taratibu zilifutwa?Waliouziwa ndio waliostahili kuuziwa?Waliozinunua wanazingatia mashariti ya mkataba? Kama hawakuzingatia kwanini hawachukuliwa hatua?Na kama hawachukuliwi hatua,ni uzembe wa nani kama sio serikali?
Hilo swali aulizwe Sumaye, ndo alikuwa PM
 
Kwanini tumhoji sumaye? Mbona majipu yanayotumbuliwa hatujawahoji mabosi wa waliotumbuliwa? Kwani bosi wa Bw. Kabwe ni nani he kahojiwa? Acha siasa za kijinga kwenye hoja muhimu
kisa kaona mnyama kaja chadema bas anataka kukimbia hoja
 
Serikali ya awamu ya kwanza chini ya Hayati Mwalimu Nyerere ilitenga maeneo maalum ya kiserikali. Humo yalijengwa majengo mbalimbali ya kiserikali kama nyumba za kuishi, masoko na kadhalika.

Nyumba za kuishi ziliwalenga hasa watumishi wa Serikali walio kazini. Lengo lilikuwa kuwaweka pamoja na kuwarahisishia ulinzi wa pamoja na urahisi wa kufika kazini. Watumishi wa umma walio kazini waliwekwa kwenye nyumba za serikali ili waishi humo.

Nyumba za serikali zilipigwa bei/kuuzwa wakati wa Serikali ya awamu ya tatu. Ikasemwa na kuandikwa kuwa nyumba hizi za serikali ziliuzwa kwa bei ya kutupa na bila kufuata utaratibu uliopaswa kufuatwa. Wakauziwa wasiostahili; waliostahili wakazikosa.

Sasa, viongozi wa kiserikali kama Mawaziri, Majaji na wengineo wanaishi walipobarikiwa kupata makazi. Huyu anaishi hapa, huyu pale; na huyu kule. Mambo ni shaghalabaghala. Hata ulinzi na upatikanaji wa watumishi hawa unakuwa wa mashaka.

Hili ni jipu. Kimchakato. Anasubiriwa mtumbuaji alitumbue!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Ninavyosikia sikia, ikipita miaka 25 basi waliouziwa wanapata umiliki wa moja kwa moja. Sasa ni zaidi ya miaka 15. Na ninavyosikia maana mkataba sijawahi kuuona, hawatakiwi kutumia maéneo zaidi ya makazi wala kujenga nyumba tofauti na zilizoko, endapo serikali itaamua kuchukua hizo nyumba huyo mnunuzi asije akala hasara.
Haya ni mambo ya vijiwe vya kahawa, inaweza ikawa sivyo nilivyosikia. Bunge lilishawahi kufuatilia hili? Hili suala linatakiwa lifuatiliwe na mtu asiye na conflict of interest.
 
Back
Top Bottom