i hope utapata. ungeweka na bei ya uwezo wako ni ngapi.Wanajamii habari zenu,
Namtafutia mdogo wangu nyumba ya kupanga Mkoani Mbeya iwe maeneo ya Sae, forest Iramba au Mjini yenye iwe self contained yenye chumba cha kulala, sebule, jiko na choo iwe kwenye hali nzuri ya usafi na iwe ndani ya fence.
Naomba msaada