Nyumba ya kununua inahitajika haraka.

Nyumba ya kununua inahitajika haraka.

ramson34

Senior Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
109
Reaction score
4
Ninahitaji nyumba ya kununua iwe sehemu reasonable kama tabata, bagamoyo road mwisho boko..Iwe na vyumba vitatu na fensi au sehemu ya kujenga fensi kupaki hata gari 2 ndogo. Iwe na hali nzuri au iwe ktk standard ambayo mtu unaweza kukarabati. Isiwe na mgogoro wowote kama vile ardhi au kifamilia..kama itakuwa na clean tittle dead itakuwa safi zaidi. My budget ni kuanzia 60mil na 70mil kutegemea na hali ya nyumba na location. For serious sellers or madalali tu naomba wani PM na details za hiyo mijengo..ahsanteni..
 
Ninahitaji nyumba ya kununua iwe sehemu reasonable kama tabata, bagamoyo road mwisho boko..Iwe na vyumba vitatu na fensi au sehemu ya kujenga fensi kupaki hata gari 2 ndogo. Iwe na hali nzuri au iwe ktk standard ambayo mtu unaweza kukarabati. Isiwe na mgogoro wowote kama vile ardhi au kifamilia..kama itakuwa na clean tittle dead itakuwa safi zaidi. My budget ni kuanzia 60mil na 70mil kutegemea na hali ya nyumba na location. For serious sellers or madalali tu naomba wani PM na details za hiyo mijengo..ahsanteni..

Inapatikana sala mji mpya lkn bei 250m nzuri na ina kiwanja kikbwa ,call 0718 908594
 
nyumba ipo moja kimara baruti mil 65 na moja tabata chama mil 120
picha nimeziweka humu jamvini
0714812375
 
Hallo Ramson,
nimesoma hapa kwenye hii website ya jamiiforums kwamba unatafuta nyumba maeneo ya Tabata pia. mimi nimuhusika mkuu na wala si dalali, ninanyumba zangu Tabata. na hizo nyumba zote nauza ikiwa tutaafikiana vizuri. kama upo kweli serious
unahitaji nyumba ya kupanga au kununua basi wasiliana na huyu ndugu yangu kwanza ukazione. nyumba zinafance na za kisasa lakini si kwa bei hiyo. nenda kazione tutaongea tu usijali. 0717415868
 
Watz tuna vichwa vigumu kama nazi ya 'kilwa masoko'yeye kasema anataka nyumba ya kuanzia 60-70m,nyie mnamtajia sijui za 120m,250m!
 
Ninahitaji nyumba ya kununua iwe sehemu reasonable kama tabata, bagamoyo road mwisho boko..Iwe na vyumba vitatu na fensi au sehemu ya kujenga fensi kupaki hata gari 2 ndogo. Iwe na hali nzuri au iwe ktk standard ambayo mtu unaweza kukarabati. Isiwe na mgogoro wowote kama vile ardhi au kifamilia..kama itakuwa na clean tittle dead itakuwa safi zaidi. My budget ni kuanzia 60mil na 70mil kutegemea na hali ya nyumba na location. For serious sellers or madalali tu naomba wani PM na details za hiyo mijengo..ahsanteni..

me ninazo na moja ipo maeneo ya segerea ina kila kitu ofa yangu ni 85ml.
 
kiongozi mini dalali wa nyumba zenye titlle kwa bei hiyo kidogo ngumu labda ununue uvunje na kujenga ninazo nyumba nyingi ukiwa na muda nipigie tuzunguke nikuoneshe 0657 145555
 
Back
Top Bottom