Nyumba ya kukodi Zanzibar

Nyumba ya kukodi Zanzibar

yassirr

New Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
2
Reaction score
0
wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,

Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita.

Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.

Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko.

Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini

Mwenye taarifa tafadhali ni PM......

Naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom