wadau, hasa wanaoishi Zanzibar naomba msaada wenu,
Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita.
Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.
Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko.
Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini
Mwenye taarifa tafadhali ni PM......
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakuwa Zanzibar kikazi kwa mwaka mmoja kuanzia mwezi wa sita.
Natafuta Nyumba ya kupanga 2 Bedrooms ikiwa master room ni vyema zaidi, Sitting room na jiko.
Kama itakuwa ngumu kupata basi walau 1 master bedroom, sitting room na jiko.
Ningependa maeneo ya Stone Town, Malindi, Mlandege na Vikokotoni kwa kifupi Wilaya ya Mjini
Mwenye taarifa tafadhali ni PM......
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app