Angetaja ml90 napo wadau wangesema yaan hicho kijumba ml90?Boss mbona Cheap sana kuna shida gani
tulia weweBoss mbona Cheap sana kuna shida gani
NYUMBA inapatikana KITUNDA, Kivule
Km 8 kutoka nyerere road (old pugu road)
Nyumba Ina vyumba viwili (all are self-contained)
Aluminium windows, full gypsums & tiles
Perving blocks
air-condition installed
Full fenced
Maji+ umeme (24/7)
Price/offer: 27m
Mawasiliano: 0785 857564
View attachment 1199799View attachment 1199800View attachment 1199801View attachment 1199802View attachment 1199803View attachment 1199804View attachment 1199805View attachment 1199806View attachment 1199807View attachment 1199808
Kiwanja kipo limited, space iliyobaki ni parking ya gari ndogo 3 hivi.
Karibu kama ni muhitaji.Kama 400sqm au zaidi au?
Waambie wapime mkuu!
Ila hiyo bei mkuu sidhani kama kuna ukweli hapo!!
Too good to be true!
Any documents?
Hati ya wizarani au kwa mwenyekiti mzee Juma?
Itakuwa nyumba hailaliki!!Boss mbona Cheap sana kuna shida gani
Hii nyumba ni ya aina gan kama haina seating room,dinning room,public toilet halafu eti ina air condition hio gharama ya ac si angeweka hata choo cha public?Ni bachelor house mkuu sio family house.
Vyumba viwili tu.
No seating room, dinning room, public toilet, store.
..Hii nyumba ni ya aina gan kama haina seating room,dinning room,public toilet halafu eti ina air condition hio gharama ya ac si angeweka hata choo cha public?