Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Abdala Ulega na Familia yake wamenusurika kifo kufuatia nyumba yao kuteketea kwa moto leo asubuhi, chanzo hakijafahamika.
Chanzo cha moto bado hakijajulikana.
Tunasikitika Kwa tukio hilo bays.basi nawaombeeni mungu awanusuru na kifo. Moto ni kama ukuta usishindane NATO.tafadhali ukiona moto hata kama ndani umeacha Vito vya thaman via che
Ondoka zako. Life is paramount ,don't compromise safety
Hahaha. ...MUNGU anawaadhibu maDC wanajifanya miungu watu...km huyo dc wa kilwa anakula mishahara hewa ya watumishi....wanapenda kunyenyekewa na vyeo vyao..nyambafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.