Fundi umeme
Senior Member
- Jun 17, 2016
- 116
- 24
Husika na kichwa cha habari hii hapo juu napangisha nyumba ya vyumba viwili chumba na sebule mahali vilipo ni kimara baruti kwa mguu adi kuifikia nyumba ni dk 15 ila kuna bajaji zinafika adi mlangoni bei ni 500 sifa za nyumba nyumba ina vyumba viwili chumba na sebule na vyote vina tiles na luku inajitegemea Maji hapo kila muda na mazingira ni mazuri ata kwa familia Bei ni tsh 90000 kwa mwezi na kodi ni miezi 6 Kwa mawasiliano 0753 505115, 0715505115 au 0689330820.