NYUMBA VINAPANGISHWA.

NYUMBA VINAPANGISHWA.

Husika na kichwa cha habari hii hapo juu napangisha nyumba ya vyumba viwili chumba na sebule mahali vilipo ni kimara baruti kwa mguu adi kuifikia nyumba ni dk 15 ila kuna bajaji zinafika adi mlangoni bei ni 500 sifa za nyumba nyumba ina vyumba viwili chumba na sebule na vyote vina tiles na luku inajitegemea Maji hapo kila muda na mazingira ni mazuri ata kwa familia Bei ni tsh 90000 kwa mwezi na kodi ni miezi 6 Kwa mawasiliano 0753 505115, 0715505115 au 0689330820.View attachment 646851View attachment 646852View attachment 646853
nje na mazingira please picha
 
Kha! Nyumba ni nzuri ila huto tu vyumba ni tudogo sana. Yani hapo hata mtu mwenye funiture ya vigoda na stuli bado hatoweza kupata nafasi ya kuviweka...
Raha ya kitu ni kusogea na kuona ww mwenyewe Na sio kuangalia Picha na kuridhika mm sina ada ya kukupereka labda ukitaka kuichukua ndo mambo ya mwezi moja utahusika.
 
Raha ya kitu ni kusogea na kuona ww mwenyewe Na sio kuangalia Picha na kuridhika mm sina ada ya kukupereka labda ukitaka kuichukua ndo mambo ya mwezi moja utahusika.
Sasa umeweka picha za nini?
 
Tatizo Ni hapo tu kukaa na mwenye Nyumba hawaishiwagi gubu Hawa
 
Karne ya 21 Utaishije na mwenye nyumba bwana? maana hata ukikohoa utakuwa unajiuliza sijui ninekohoa inavyotakiwa au nimemkwaza mwenye numba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom