Nyumba nzuri sana inauzwa Dar

Nyumba nzuri sana inauzwa Dar

Kwa uchumi Wa sasa Milioni 400 no balaa. Unaweza ukauza chini ya hapo ukafanikwa . hiyo nyumba ukiijenga itagharimu 250,000,000/_ Labda thamani ya kiwanja iongozee thamani. Lakini tatizo kubwa no mzunguko Wa hela umebana LA sivyo ungepata. Wale ambao zinawatembelea kama zamani watasema nilie peke yangu . Lakini si wengi, bado wanaogelea kama zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15]

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Nauza nyumba yangu nzuri sana ipo buyuni/Italiani barabara ya pugu kwenda chanika. Mitaa imepangika na kiwanja kimepimwa.Nyumba no: ni Block 1 plot no 7 mtaa wa Kigezi Buyuni Wilaya ya Ilala.
Nyumba ni kubwa na ni 2 kwenye kiwanja kimoja. Nyumba kubwa ina vyumba vinne vya kulala kimoja master kina AC na Jakuzi(very comfortable) na kila chumba cha kulala kina kabati la nguo kama inavyoonekana kwenye picha.Sebule ni kubwa na kuna AC. nyumba yote ina gypsum kama unavyoona kwenye picha na tiles ya kioo. Ina jiko zuri, dinning, stoo na choo na bafu public. Nyumba ya pili ndogo ina chumba master, sebule na jiko, kuna choo cha nje na banda la kufugia kuku.Ukubwa wa eneo lote ni nusu heka. Ina kisima cha maji na tank lake, umeme upo ni four phase, unaamua tu kutumia kadiri upendavyo.
Bei ni Tshs 400,000,000/- Milioni mia nne.Maongezi yapo. Tuma PM kwa serious buyer au nipigie 0655441943/0620496151
Naomba atakaye kuwa interested kununua Whatsapp hapa naona hazifiti zote please.
Buyuni napajua ni mbali na mji na kuna uswahili mwingi sana.Hiyo bei hamna mtu ananunua. Labda ingekua mbezi beach
 
MKUU, HIYO BEI NI KUBWA ILA INGEKUWA ENZI ZA JK UNGEUZA ILA KWA 300

KUMBUKA, HAPA DSM THAMANI YA NYUMBA NI UWANJA ULIPO NA SIYO MATERIAL YA NYUMBA

UKISHNDWA FANYA KAMA ALIVYOELEKEZA MDAU HAPO JUU, CHUKULIA MKOPO BENKI
 
tatizo la kununua nyumba aliyokuwa anaishi mtu, ni mazindiko, haujui alizindikaje, unaingia ndani yaanze kukusumbua. kuwa open kwenye kila kitu mkuu. maeneo yenyewe ni ilala, haujaletaga mashehe hapo wasome dua kweli?
Hivi vitu sijawahi kuviwaza. Na ukivyendekeza uanajikuta unakua mtumwa na mwoga kwa kila kitu. Bora uogope kutapeliwa kuliko mazindiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mil 400? Alafu buyuni kule nje ya mji? Nazani kwa saizi hizo Bei ni mbezi beach tu all in all good luck hope 2020 mwezi wa 12 ivi itanunuliwa mana mkuu anaeza akawa kashatoka na jk karudi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi zile kwa hiyo nyumba ungemaliza biashara mapema kiongozi.

Kila la kheri
 
Ni umeme wenye nyaya nne yaani laini mbili. Ukikatika laini moja unaswitch laini nyingine au unaweza kuzitumia zote mbili kadiri upendavyo.
 
Kwa uchumi Wa sasa Milioni 400 no balaa. Unaweza ukauza chini ya hapo ukafanikwa . hiyo nyumba ukiijenga itagharimu 250,000,000/_ Labda thamani ya kiwanja iongozee thamani. Lakini tatizo kubwa no mzunguko Wa hela umebana LA sivyo ungepata. Wale ambao zinawatembelea kama zamani watasema nilie peke yangu . Lakini si wengi, bado wanaogelea kama zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mazungumzo yapo jamani karibuni kuiona nyumba hautajutia kutoa hela yako.
 
Buyuni napajua ni mbali na mji na kuna uswahili mwingi sana.Hiyo bei hamna mtu ananunua. Labda ingekua mbezi beach
Huku hakuna uswahili ndugu yangu njoo ujionee mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom