Nyumba mpya tatu zinapangishwa

Nyumba mpya tatu zinapangishwa

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,100
Reaction score
325
Zipo pembezoni mwa chuo kikuu cha Dar es salaam upande wa kuelekea makongo juu. Zipo katika uzio mmoja. Kila moja ina sebure, jiko na vyumba vitatu vya kulala ( ambapo viwili katika vitatu vina huduma ya bafu na choo ndani kwa ndani) , Zina huduma ya maji na umeme. Kodi sh 900,000 kwa mwezi kwa moja. Kwa mali nyingine tembelea www.kitomai.com. Kwa mawasiliano zaidi piga simu na.0784225000.
attachment.php


attachment.php

attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • IMG-20150108-WA0009.jpg
    IMG-20150108-WA0009.jpg
    158.9 KB · Views: 1,664
  • IMG-20150108-WA0010.jpg
    IMG-20150108-WA0010.jpg
    170.2 KB · Views: 1,621
  • IMG-20150108-WA0018.jpg
    IMG-20150108-WA0018.jpg
    105.4 KB · Views: 1,644
  • IMG-20150108-WA0017.jpg
    IMG-20150108-WA0017.jpg
    87.5 KB · Views: 634
  • IMG-20150108-WA0013.jpg
    IMG-20150108-WA0013.jpg
    80.4 KB · Views: 662
  • 20150109_163804.jpg
    20150109_163804.jpg
    35.3 KB · Views: 1,679
  • 20150109_164248.jpg
    20150109_164248.jpg
    43.6 KB · Views: 1,621
wenye uwezo wa kulipa 900000 ndio wenye uwezo wa kujenga zao
Yaaani umemuambia kweli na vizuri tulio wengi humu tumejitahidi saana laki mbili. Kwa mwezi hao wa laki tisa wameshajengaga zamani tena wanazo mbili mbili wengine tatu nne tano nakadhalika
 
Yaaani umemuambia kweli na vizuri tulio wengi humu tumejitahidi saana laki mbili. Kwa mwezi hao wa laki tisa wameshajengaga zamani tena wanazo mbili mbili wengine tatu nne tano nakadhalika
Hawa wenye uwezo wa kulipa pango la laki 9 wanaweza kupanga kwa hiyo gharama if and only if location yenyewe ipo sexy... sioni kama eneo tajwa lipo sexy.
 
labda ubahatishe mzungu.. au mgeni anaweza kulipa laki 9.. kwa mbongo ni ngumu kumeza... maana anajua market ilivyo
 
Jamani tumeshafika kwenye kodi ya laki 9 toka laki 3.5-4??

Huyo kaanzisha, wengine sasa utaona watakavyoiga.
 
Hawa wenye uwezo wa kulipa pango la laki 9 wanaweza kupanga kwa hiyo gharama if and only if location yenyewe ipo sexy... sioni kama eneo tajwa lipo sexy.

Mmmmmmmmmmmmmm haya naz
 
Hawa wenye uwezo wa kulipa pango la laki 9 wanaweza kupanga kwa hiyo gharama if and only if location yenyewe ipo sexy... sioni kama eneo tajwa lipo sexy.

Sawa NasDaz nimekusoma vizuri saana
 
yani laki 9 halafu ziko 3 kwa compound, lol, wakato mbezi beach , kijitonyama laki 6 nyumba ya geti la peke yako
 
Wewe ndie yule wanaosema kuwa umetapeli watu wengi au si wewe? Taperi Kito
 
Mkuu mbona kuna laki mbili na nusu geti la peke yako
 
kweli jiji la dar es salaam ni ghali kuishi africa mashariki na kati
 
Laki Tisa kwa mwaka au mwezi,?

Umeambiwa ni kwa mwezi! Kwa mwaka ni 10,800,000/-!

Ukiwa na kiwanja tayari, hizo kodi kwa mwaka unaweza hata kupaua hata nyumba. Ukabakiza finishing, Umeme madirisha na milango!
 
Umeambiwa ni kwa mwezi! Kwa mwaka ni 10,800,000/-!

Ukiwa na kiwanja tayari, hizo kodi kwa mwaka unaweza hata kupaua hata nyumba. Ukabakiza finishing, Umeme madirisha na milango!

Akajipange tena na mwenyumba then arudi hapa .
 
Nipo tayari kuzikodi zote tatu kwa laki tatu kila moja, nipo tayari kulipia kodi ya miaka 5 kwa installment mbili.

300,000 * 3 * 12 * 5 = 54,000,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom