NYUMBA INAUZWA

NYUMBA INAUZWA

kivalue99

Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
18
Reaction score
21
Nyumba ipo mbezi makabe dar ,inauzwa inaeneo kubwa na zipo mbili yaan nyumba kubwa na ndogo sehem moja na eneo kubwa unaweza hata kujenga nyumba nyngne eneo bei 100m
 
Nyumba ipo mbezi makabe dar ,inauzwa inaeneo kubwa na zipo mbili yaan nyumba kubwa na ndogo sehem moja na eneo kubwa unaweza hata kujenga nyumba nyngne eneo bei 100m
Picha iko wapi
 
Pics hizo hapoView attachment 1931726View attachment 1931724View attachment 1931727View attachment 1931725
IMG-20210908-WA0015.jpg
View attachment 1931728
 
Nyumba zipo mbili lakin Kuna eneo kubwa unaweza fanya lolote na nyumba moja kubwa na nyngne ndogo
 
Acheni mananeo hiyo area ni nzuri sana. Ukinunua hizi unaweza kupangisha moja na kama unazo za ziada unakarabati moja utakayo ishi kwa style yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom