Nyumba inauzwa

Nyumba inauzwa

zilakina

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
293
Reaction score
77
Nyumba inauzwa ipo tegeta masaiti ina vyumba 5 ina fensi na geti.Bei ni 100M.

IMG-20160722-WA0002.jpg

IMG-20160722-WA0001.jpg
 
Nyumba inauzwa ipo tegeta masaiti ina vyumba 5 ina fensi na geti.Bei ni 100M.

View attachment 371285
View attachment 371286
kaka nina iman asili% 100 ume weka picha hizo kwa lengo la biashara ya nyumba

siwezi kutilia shaka uwepo wa huyo mtoto Albino hapo kushoto mwa picha
ktk haki cdhan kama huyo mtoto alitoa ridhaa ya kuonekana ktk tangazo la biashara yako

pia kutokana na roho mbaya za watanzania wenzetu walogeuka wanyama kwa kuwa uwa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi mpaka sasa ina wezekana ume hatarisha usalama wa mtoto huyo maana wenye lengo baya wana weza kuja kwa kiki ya kutaka kununua nyumba waka fanya uharamia

mm si mwana sheria ila naamin uwepo wa mtoto huyo ktk picha yako ina weza ikawa kosa kisheria

kuanzia sasa bora uka itoa uweke nyingine au crop ni hayo tu
 
kaka nina iman asili% 100 ume weka picha hizo kwa lengo la biashara ya nyumba

siwezi kutilia shaka uwepo wa huyo mtoto Albino hapo kushoto mwa picha
ktk haki cdhan kama huyo mtoto alitoa ridhaa ya kuonekana ktk tangazo la biashara yako

pia kutokana na roho mbaya za watanzania wenzetu walogeuka wanyama kwa kuwa uwa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi mpaka sasa ina wezekana ume hatarisha usalama wa mtoto huyo maana wenye lengo baya wana weza kuja kwa kiki ya kutaka kununua nyumba waka fanya uharamia

mm si mwana sheria ila naamin uwepo wa mtoto huyo ktk picha yako ina weza ikawa kosa kisheria

kuanzia sasa bora uka itoa uweke nyingine au crop ni hayo tu
Acha mawaazo machafu wewe. Kweli watanzania tumefikia hatua hii? Yaani ndugu zetu albino tuwafiche kabisa wasionekane ama? That cute little boy deserves to be free and happy as he is, kusema eti asitokee kwenye picha sijuwi nini nanini ni mawazo ya ushirikina wa kijima!
 
Acha mawaazo machafu wewe. Kweli watanzania tumefikia hatua hii? Yaani ndugu zetu albino tuwafiche kabisa wasionekane ama? That cute little boy deserves to be free and happy as he is, kusema eti asitokee kwenye picha sijuwi nini nanini ni mawazo ya ushirikina wa kijima!
Asante sana ndugu
 
kaka nina iman asili% 100 ume weka picha hizo kwa lengo la biashara ya nyumba

siwezi kutilia shaka uwepo wa huyo mtoto Albino hapo kushoto mwa picha
ktk haki cdhan kama huyo mtoto alitoa ridhaa ya kuonekana ktk tangazo la biashara yako

pia kutokana na roho mbaya za watanzania wenzetu walogeuka wanyama kwa kuwa uwa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi mpaka sasa ina wezekana ume hatarisha usalama wa mtoto huyo maana wenye lengo baya wana weza kuja kwa kiki ya kutaka kununua nyumba waka fanya uharamia

mm si mwana sheria ila naamin uwepo wa mtoto huyo ktk picha yako ina weza ikawa kosa kisheria

kuanzia sasa bora uka itoa uweke nyingine au crop ni hayo tu
kaka nina iman asili% 100 ume weka picha hizo kwa lengo la biashara ya nyumba

siwezi kutilia shaka uwepo wa huyo mtoto Albino hapo kushoto mwa picha
ktk haki cdhan kama huyo mtoto alitoa ridhaa ya kuonekana ktk tangazo la biashara yako

pia kutokana na roho mbaya za watanzania wenzetu walogeuka wanyama kwa kuwa uwa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi mpaka sasa ina wezekana ume hatarisha usalama wa mtoto huyo maana wenye lengo baya wana weza kuja kwa kiki ya kutaka kununua nyumba waka fanya uharamia

mm si mwana sheria ila naamin uwepo wa mtoto huyo ktk picha yako ina weza ikawa kosa kisheria

kuanzia sasa bora uka itoa uweke nyingine au crop ni hayo tu
Inavyoonekana ww ni wale wenye watoto walemavu unawafungia ndani eti kisa aibu kuzaa mlemavu.
 
Kiwanja ukubwa gani? Ninaona kimebana kwa hakika. Elezea biashara vizuri. Watanania madalali tafadhali mjifunze lugha ya biashara na soko. Elezea kiasi fulani bidhaa yako. Hati, umbali kutoka barabara kuu, huduma za maji, etc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom