Andrometer
Member
- Feb 26, 2019
- 81
- 67
- Thread starter
- #21
Karibuni
Mwenyewe ni mimi, nashukuru kwa ushauri.mwambie mwenyewe airekebishe kwanza atapata mteja haraka na kwa bei nzuri zaidi
Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Wqchekeshaji huwa hawakosekani...
Tena imechoka sana, yaani Ina miaka Michache mbele...Hii nyumba ukiinunua inabidi ubadilishe mabati na nje imechoka.
Ni muonekano wa kwenye picha tuTena imechoka sana, yaani Ina miaka Michache mbele...
Kuna Nini hapo??, yaonyesha wewe ni tabibu mbobezi, je humo ndani Kuna paka weusi na wekundu au popo bawa watoa bikra za jinsia zote nyakati za usiku.Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Bila shaka bado unakaa na kulishwa na shemeji yako. Hujui hata bei mfuko mmoja wa cement.Mkuu ukipata mtu anakupatia hata milioni 9 chukua na ukimbie usiangalie nyuma
Hajui lolote ni kujitia ujuwaji tu! Nyumba ipo Tabata, inawapangaji vyumba vyote haina shida yoyote arafu yeye analeta utani wa kitotoKuna Nini hapo??, yaonyesha wewe ni tabibu mbobezi, je humo ndani Kuna paka weusi na wekundu au popo bawa watoa bikra za jinsia zote nyakati za usiku.
Hahaha, anaachwa sebureni kuangali tamthilia Azam na dada yake anaenda chumbani kumuhudumia shemeji yakeBila shaka bado unakaa na kulishwa na shemeji yako. Hujui hata bei mfuko mmoja wa cement.
Sasa kwani shem kumgegeda dada yake shida ipo wapi? Sii ameolewa kwa sababu ya kusasambuliwa mbususuHahaha, anaachwa sebureni kuangali tamthilia Azam na dada yake anaenda chumbani kumuhudumia shemeji yake
Haha haina shida, ila asilete mzaha wa kitoto kwenye issue serious za watuSasa kwani shem kumgegeda dada yake shida ipo wapi? Sii ameolewa kwa sababu ya kusasambuliwa mbususu
Sante kwa offer mkuu, but upo chini sanaNina 15M naitaka hiyo nyumba
Hivi ndo wakina Korosso huvitoboa ubongo.Hajui bei ya tofali hata 1