Nyumba inauzwa Tanga, Magomeni

Nyumba inauzwa Tanga, Magomeni

BK95

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2024
Posts
281
Reaction score
357
Wakuu habari za majukumu ya kifamilia,kijamii na kitaifa!
Natumai hamjambo.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kuna nyumba huku tanga mjini mtaa wa magomeni A inauzwa,iko na 3 bedrooms,1 master room,sitting room kubwa na store.

Pamoja na vumba vitatu vya nje.
Bei, million 40.
 
Dah, nyumba nzuri sana kwa muonekano, bei reasonable kabisa!

Nimependa hizo tiles na rangi, pia vyumba ni vikubwa kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom