radhiya
JF-Expert Member
- Aug 19, 2015
- 509
- 401
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
•Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti inayotosha kufulia, kuanika nguo na kupumzika.
•Usafiri wa gari na bajaji haufiki mpaka kwenye nyumba, pikipiki inafika.
Ukubwa wa Eneo: SQM 312.
Nyaraka: Hati ya serikali ya mtaa.
Bei: Tzs Milioni 55. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767 833345
@prathlimited
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
•Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
•Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti inayotosha kufulia, kuanika nguo na kupumzika.
•Usafiri wa gari na bajaji haufiki mpaka kwenye nyumba, pikipiki inafika.
Ukubwa wa Eneo: SQM 312.
Nyaraka: Hati ya serikali ya mtaa.
Bei: Tzs Milioni 55. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767 833345
@prathlimited