mwehu ndama JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,318 Reaction score 8,958 Apr 3, 2025 #21 hii nyumba nailipia mil 255 sababu imesimama kinoma, ndani ina Tanki la lita 5000 la bia , yaani TBL hua wanalijaza Kila mwezi , afu mabomba ya maji yanatoa maji ya upako ya mwamposa..hii siiachi!
hii nyumba nailipia mil 255 sababu imesimama kinoma, ndani ina Tanki la lita 5000 la bia , yaani TBL hua wanalijaza Kila mwezi , afu mabomba ya maji yanatoa maji ya upako ya mwamposa..hii siiachi!