Bill JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 10,703 Reaction score 11,812 Jul 28, 2015 #1 Nyumba inauzwa Sinza Mori. Anaehitaji ani-PM. Madalali marufuku. Kuni contact uwe mnunuaji sio mtu wa kati.
Nyumba inauzwa Sinza Mori. Anaehitaji ani-PM. Madalali marufuku. Kuni contact uwe mnunuaji sio mtu wa kati.
D Dafugwadu JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,733 Reaction score 5,251 Jul 28, 2015 #2 Duh!! Zote ni njaa sawa hatukatai. Ili hii ya kwako komesha.
Manumbu JF-Expert Member Joined Oct 28, 2009 Posts 1,746 Reaction score 1,283 Jul 28, 2015 #3 picha na details za jengo pls
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,868 Reaction score 10,085 Jul 28, 2015 #4 Master plan said: Duh!! Zote ni njaa sawa hatukatai. Ili hii ya kwako komesha. Click to expand... Hahahaha, Sasa kama wewe ni mwenye nyumba hembu weka picha na bei.
Master plan said: Duh!! Zote ni njaa sawa hatukatai. Ili hii ya kwako komesha. Click to expand... Hahahaha, Sasa kama wewe ni mwenye nyumba hembu weka picha na bei.
K kasenene JF-Expert Member Joined Jun 6, 2008 Posts 1,632 Reaction score 2,414 Jul 28, 2015 #5 Weka kila kitu hapa..... manake naona dalili zote za utapeli....bei tu hujataja...
M Mgoda simtwange Senior Member Joined Sep 7, 2012 Posts 168 Reaction score 64 Jul 29, 2015 #6 madalali lazima wakuchukie sana mwaka huu. na hii ndio dawa yao mana wanazingua sana.
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 Jul 29, 2015 #7 itakudodea hiyo nyumba.....ukitaka kuuza fasta washirikishe madalali
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,805 Jul 29, 2015 #8 Bill said: Nyumba inauzwa Sinza Mori. Anaehitaji ani-PM. Madalali marufuku. Kuni contact uwe mnunuaji sio mtu wa kati. Click to expand... Kwa masharti hayo unaweza kukaa nayo mda mrefu kabla hujaiuza
Bill said: Nyumba inauzwa Sinza Mori. Anaehitaji ani-PM. Madalali marufuku. Kuni contact uwe mnunuaji sio mtu wa kati. Click to expand... Kwa masharti hayo unaweza kukaa nayo mda mrefu kabla hujaiuza
Bill JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 10,703 Reaction score 11,812 Jul 29, 2015 Thread starter #9 Haina haraka kiasi hicho kuuza. Ni ya mdogo wangu anaehitaji ani-PM nimpe namba wawasiliane wamalizane. Mimi siwez kuwa middle man
Haina haraka kiasi hicho kuuza. Ni ya mdogo wangu anaehitaji ani-PM nimpe namba wawasiliane wamalizane. Mimi siwez kuwa middle man
N nyakrere JF-Expert Member Joined Jul 28, 2015 Posts 295 Reaction score 83 Jul 29, 2015 #10 Inauzwa bei shs ngapi