Nyumba inauzwa sh. 13 mil.

Nyumba inauzwa sh. 13 mil.

Sawia

Senior Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
129
Reaction score
40
Nauza haraka nyumba yenye vyumba vitatu ambayo ipo kwenye eneo kubwa la mita 35 kwa 30 Chanika mwendo wa dk 7 toka barabara ya lami. Umeme upo. Bei sh. Mil. 13, haipungui. Unaweza kuikarabati nyumba, kuongeza ukubwa au kujenga nyingine hapo hapo. Kwa anayehitaji piga simu namba 0715 597591
 
Chanika?nyumba ya vyumba3?umeme upo?dk7 kutoka road?eneo 35x30?mil13?haipungui?

Ni Chanika ipi?ya Dar au Kigoma?
 
Chanika?nyumba ya vyumba3?umeme upo?dk7 kutoka road?eneo 35x30?mil13?haipungui?

Ni Chanika ipi?ya Dar au Kigoma?

Ni Chanika ya Dar Mkuu, sikujua kama Kigoma kuna Chanika. BTW nashukuru sana.
 
Mbona unataka kuuza haraka namna hiyo mwenzetu?
Unanitia wasi wasi, isiwe nyumba si yako mmmm?
Maana nimeona mengi mie.
Mie nitanunua ila inabidi nifanye upelelezi miezi 3 kama hiyo nyumba ni yako.

Kwanza nione picha
Alafu niende hiyo sehem nikaone
Nifanye upelelezi wa hapo watu wanasemaje
 
Nauza haraka nyumba yenye vyumba vitatu ambayo ipo kwenye eneo kubwa la mita 35 kwa 30 Chanika mwendo wa dk 7 toka barabara ya lami. Umeme upo. Bei sh. Mil. 13, haipungui. Unaweza kuikarabati nyumba, kuongeza ukubwa au kujenga nyingine hapo hapo. Kwa anayehitaji piga simu namba 0715 597591

Mkuu sijafahamu ni milioni hizo ni za madafu au za obama wa kule u s a naomba jibu kwa sababu sehemu hiyo nimependa sana tena pamoja na shemegi
 
Mh!! Mil 13? Dak 7 toka road? 35 kwa 30? Kuna walakini mkuu.anyway wewe ndio unapanga,lakini vuta subira kidogo
 
Hapa nadhani kinachouzwa ni kiwanja chenye nyumba...
 
Wakuu ninauza kwa vile biashara zangu zimeyumba kimtaji, nataka kuziimarisha haraka na sina namna maana hapo Chanika nimeweka mpangaji anayenilipa kodi kidogo kulingana na mazingira ya kule. Ninazitegemea zaidi biashasa kuliko hiyo nyumba na kodi yake. Nyumba ni yangu na wala haina mgogoro wowote. Ni tatizo tu la dharura lililonilazimu kuiuza kwa hasara ili niokoe biashara zangu. Nauza kwa Tshs sio Dola.
 
Nini hatima hatima ya huyo mpangaji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom