Nyumba ipo kibaha kwa matiasi mtaa wa pili kutoka stand, imesajiliwa kwa namba MKM 2019, ina vyumba vya kulala vinne (4) na sebule. Umeme na maji bado na pia inahitaji finishing, kwasasa inaishi watu. Hahitajiki dalali. Mawasiliano 0658 252658.
Nadhani co kweli kwamba nyumba za juu ya makaburi zinauzwa bei rahisi. Ujenzi wake ulisimama mwaka 2010 kwasababu zilizo nje ya uwezo binafsi. Bei haipungui zaidi ya hapo. Ipo kwa matiasi kibaha mtaa wa pili kutoka stand. BUSARA INAHITAJIKA KTK KUTOA MAONI.