Nyumba inauzwa Mbweni JKT

Nyumba inauzwa Mbweni JKT

Doyi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2011
Posts
1,809
Reaction score
2,283
1463147162903.jpg

1463147186062.jpg

1463147211738.jpg

Wadau habar.
Kama title ilivo ni kuwa kuna nyumba inauzwa maeneo ya Mbweni JKT,bei ni tshs 200mil (upungufu unaongea).ina vyumba 5 na viwili kati ya hvyo ni master bedrooms. Ina squaremeter 900.

Kwa mawasiliano nitafte kwa namba 0717478451.naambatanisha na picha zake hapa wadau.

Pia kama kuna wadau wengine wanahitaj nyumba za kupanga/kupangisha au kuuza na kununua, vyumba,mashamba,fremu.naomba tuwasiliane kwa namba hyo hapo.asanteni.
 
Ina vyumba vingapi? Kwa bei hiyo si nanunua zile za National housing za milioni sabini tatu!
 
Mkuu hizi ni zama za magufuli 200ml kuitamka yenyewe ni ngumu sembuse kuwa nayo..au hili tangazo limechelewa nn
 
nimetoa namba za simu kwa maswali zaid nichek kwa hyo nAmba.asanteni
 
Wadau habar.kama title ilivo ni kuwa kuna nyumba inauzwa maeneo ya mbweni jkt.bei ni tshs 200mil (upungufu unaongea).ina vyumba 5 na viwili kati ya hvyo ni master bedrooms.ina squaremeter 900.kwa mawasiliano nitafte kwa namba 0717478451.naambatanisha na picha zake hapa wadau.pia kama kuna wadau wengine wanahitaj nyumba za kupanga/kupangisha au kuuza na kununua, vyumba,mashamba,fremu.naomba tuwasiliane kwa namba hyo hapo.asanteni.

Ina mke na gari?
 
Back
Top Bottom