Nyumba inauzwa mbezi beach

Nyumba inauzwa mbezi beach

Eee mkubwa wa wote msamehe huyu kiumbe mwenye chuki na madalali kwa sababu ajui alitendalo
 
Hapana mimi hapo napata kitu kidogo sana. Hili eneo viwanja vinauzwa bei ghari. Ungekua na muda ningekutembeza uone viwanja maeneo hayo vinauzwaje.kina ukumbwa wa sqm 900. Eneo lina uzio.

Pia hiyo nyumba ambayo haijakamilika imejengwa kwa tofari zilichanganywa mchanga, sementi na kokoto. Kawaida tofari moja la namna hiyo huuzwa sh 2000. Msingi,uzio na ukuta vimekula tofari 7000 hapo unazungumzia sh 14mil.

Tofari zimelazwa hazijasimamishwa zimalazwa. Zege na nondo vinakadliwa kufikia 20mil. Sasa hiyo 34 plus gharama za ufundi plus bei ya kiwanja kwa nini isiwe juu? Nadhani naongea na watu wanaojua gharama za ujenzi na thamani ya ardhi.
Mimi nakupata mkuu, bei za hapo si ndogo tatizo hiyo plan.
Ungeweza kuweka CAD-plan tungeweza kufikiria namna ya kufanya.
Angalizo tu ni kuwa plan yako si lazima iwe plan ya mnunuzi.Itafaa kama plan hiyo inaweza kuwa modified ili jengo litumike kwa shughuli nyingine na si za developer wa kwanza/muuzaji.
 
attachment.php


Aiseeeeeee
is a joke! 170 mil.
 
Mkuu hii bei bado ni ghali sana kwa kiwanja hicho. Kwa hesabu za haraka hapo kwenye hiyo structure ametumia <30M na viwanja vya 900sqm maeneo hayo unaweza kupata kati ya 50 - 90M. Ukisogea mbele kidogo Bahari Beach (ambapo ni pazuri zaidi) viwanja vya 1800sqm vipo kati ya 70 - 100 M.

Anyway, mwisho wa siku nyinyi mtaweka bei yoyote lakini ni mteja atakayeamua kiuzwe kiasi gani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom