Nyumba inauzwa kitunda kwa mpemba

Nyumba inauzwa kitunda kwa mpemba

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
604
Reaction score
1,236
Nyumba inauzwa kitunda kwa mpemba dsm nyumba ina vyumba 3 chumba kimoja masta sebule jiko sehem ya kulia chakula choo public inauzwa ml 67 nicheki whatsap 0743 257 669
1744463314954.jpg
 
Kwa hiyo wewe unataka utoe "afu" kumi kwa hilo bonge la house!?
Hapana, nyumba ni nzuri sana tu, lakini mkuu unavyoitaja Millioni 30 ni kama haujaitendea haki, hiyo ni Millioni 30 sio 30m.

Anyway yaani Namaanisha ni pesa nyingi sana kuliko kawaida
 
Ina: 3 bedroom ✅
1 master room ✅
Sitting room ✅
Dining room ✅
Kitchen ✅
Toilet public ✅
Tyles tayari ✅
Gypsum tayar ✅
Ipo ndani ya fensi ✅
Gari moja hadi mjini ✅
Maji yapo ✅
Umeme upo ✅
Ukubwa wa kiwanja sqm 400✅
Document:mauziano serkali ya mtaa 📄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom