Ukiitaka 18mil nipm
Kiwanja mil 5 ujenzi mil 10 .faida mil 2.5 haya chukua mil 17.4
Kwanini 29m na isiwe 30m?
Milioni 13 unapokea?Habari wadau badomnahesabiwa? amjarudi! Mjengo bado upo
Huko mbali sana mkuu ml.13mkuu KIMARA?Milioni 13 unapokea?
Poa mkuu, ukikosa kabisa mtu nitafute tufanye biashara harakaHuko mbali sana mkuu ml.13mkuu KIMARA?
nikikosa naenda kuikopea kwa pesa hiyo
Ndio unatafuta ule mtaji wa biashara ya dhahabu?Bei itapungua njoo uione mwenyewe utojuta majirani wamejenga vizuri gari mpaka mlangoni ,sehemu ya kupaki ata gari kumi au kujenga Nyumba nyingine eneo lipo,tena lupo tambalale wadau msihofu siyo ya magufuri no Mali yangu kihalali.
Hapana nataka kufungua biashara nyingine kabisa aiusiani na hiyo ila uwaga napenda kutafiti biashara nyingi ilimladi nipate kujua zaidi ya biashara yangu.vipi unaitaji mjengo nikuachie?Ndio unatafuta ule mtaji wa biashara ya dhahabu?
Bei hiyo kubwa sana.Hapana nataka kufungua biashara nyingine kabisa aiusiani na hiyo ila uwaga napenda kutafiti biashara nyingi ilimladi nipate kujua zaidi ya biashara yangu.vipi unaitaji mjengo nikuachie?
Kutokana na dhamani ya eneo. Fanya kama unaulizia bei za Nyumba za kimara na maeneo zilipo ili ujilizishe alafu njoo tuongee biashara nitakupunguzia usihofu uje kuangalia ene utojuta nakuhakikishia.Bei hiyo kubwa sana.
Unasikia wanataka kubomoa? Nakudhibitishia ili usisikie tena pamepimwa na beacon zimewekwa nasubiri cheti tu! Na eneo sio hatarishi na si mtoni ni sehemu salaama nauza kwa shida zangu binafsi na si vinginevyo.Si uende sasa, unasubiri nini? Eneo lenyewe hilo nasikia wanataka kuja kubomoa
Bado ipo sokoni tu?Jamani bado nyumba ipo sokonj