Nyumba Inauzwa Kibaha

Nyumba Inauzwa Kibaha

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,143
Reaction score
369
Nyumba kwenye picha iko Pwani, Manispaa ya Kibaha, Bokotimiza (kilomita 4 toka Tumbi Hospital ina vyumba 4, iko kwenye ekali 2, umeme uko karibu sana pamoja na maji ya kuvuta, Kuna miti ya matunda kama miembe korosho na pia miti ya vivuli imepandwa pale.Ina vyumba vinne vya kulala.Bei shilingi 120mil. 0755312233


attachment.php
 

Attachments

  • HOUSE.JPG
    HOUSE.JPG
    791.3 KB · Views: 931

Similar Discussions

Back
Top Bottom