mfetere
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 251
- 95
Habari wana jf nyumba nyumba inauzwa iko boko basihaya sehemu nzuri kabisa ni nyumba inavyumba vitatu vya kulala master moja,chumba cha kusomea, sebule, jiko, sehemu ya kulia chakula, sehemu ya mashine ya kufulia, public toilet na nyumba ina paving block ina fensi maji na umeme nyumba haina hati inakaratasi za serikali haina tatizo yoyote. 0714787795 kwa mawasiliano na picha zipo nyingi hizo ni baadhi ukihitaji nakutumia kwa whatsapp zaidi.