Daah!! Kuna watu wa mioyo ya kipekee.
Na hii yote ni kutaka kuishi mijini.
Hayaanguki man labda binadamu mwenyewe aamue kuyashusha kwa baruti,yapo miaka nenda rudi!!!Daah hivi hayo mawe hayawezi kuanguka man??
Mkuu HARUFU huwa nakutegemea kwenye kuleta hizi picha nzima nzima.
Issie sio nyumba wala hela issue ni hilo jiwe hapo ...
Hapana sijawahi kufika Mwanza Mkuu.@Shadeeya,Ushawahi kuishi kufika mwanza?
Kama hapo unaona panatisha hakika maeneo mengi ya Mwanza huwezi kuishi.
Ooh. Sawa Mkuu.Hapo ni Malimbe Nyegezi karibu na Chuo cha SAUT Mwanza..Daah nishapamiss Chuoni..!!