Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,143
- 369
Nyumba hii ina vyumba vitatu vya kulala kimojawapo kikiwa masta, sebure, sehemu ya kulia chakula, jiko na store. Kiwanja chake kina Hati Milki na ukubwa wa mita za mraba 1700. Nyumba ipo upande wa kushoto kuelekea Bagamoyo. Ipo njiani ukiwa unaelekea BOKO NHC. Bei shs 150mil. Maelewano yapo. Kuitazama mawasiliano haya 24/7HRS. +255 755 312 233. Karibu Sana Mteja, kwetu sisi wewe ni Mfalme na Malkia.