FLASH HIDER
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 397
- 508
Nyumba inapangishwa ipo Majohe Kilometa moja na Nusu kutoka Kampala International University (KIU) Gongo la Mboto. Ina vyumba vinne vya kulala (kimoja ni master), library, store, Sitting roo, dining room, sehemu ya ibada, ina fence, ina umeme, maji (ina kisima cha kuchimbwa), inafikaka kwa gari. Eneo lina ukubwa wa 59x35M. Ni mpya haijawahi kukaliwa na inapangishwa yote kwa pamoja na si kwa vyumba. Interested nipigie +255763764252. Mimi ni mwenye nyumba na sio dalali na sihitaji dalali.