Nyumba inapangishwa - Tabata Kimanga

Nyumba inapangishwa - Tabata Kimanga

Kabachubya

Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
87
Reaction score
10
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga.

Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha kuku na mbwa kwa wenye mbwa.

Bei ni Tshs 200,000 kwa mwezi.

Kwa mawasiliano 0713 123464 au 0762 101178
 
weka picha bana kuna visimu vya wachina vingi siku hizi
 
Picha ndio hizo hapo,natumaini zitakupa picha.
 

Attachments

  • DSC02364.JPG
    DSC02364.JPG
    64.7 KB · Views: 161
  • DSC02365.JPG
    DSC02365.JPG
    92.2 KB · Views: 135
  • DSC02367.JPG
    DSC02367.JPG
    175.7 KB · Views: 149
  • DSC02368.JPG
    DSC02368.JPG
    139.5 KB · Views: 126
Nyumba inapangishwa tabata kimanga karibu kabisa na kanisa la KKKT Kimanga.

Ina vyumba viwili vya kulala, sebure, jiko, choo na bafu. Iko ndani ya uzio wa ukuta. kwa wafugaji kuna kibanda cha kuku na mbwa kwa wenye mbwa.

Bei ni Tshs 200,000 kwa mwezi.

Kwa mawasiliano 0713 123464 au 0762 101178

Nimeaangalia hizo picha kuna milango miwili ya nje,nyumba ni ya kuishi familia mbili?
 
Hapo ni familia mbili, kila mmoja na luku yake maji ndio mnatumia pamoja.
 
Very interesting... Kuna nyumba ya 200,000/= kwa mwezi, Dar?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom