Nyumba inapangishwa MOSHI

Nyumba inapangishwa MOSHI

Cie

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
22
Reaction score
1
nyumba nzima inapangishwa MOSHI katika eneo la makazi mapya SOWETO karibu sana na hospitali ya St. Joseph. Ina fence, uwanja wenye garden nzuri, gate na eneo zuri la bustani call or tuma sms 0715 930430
 
ina ukubwa gani na bei kiasi gan?
ina vyumba vitatu vya kulala + master bedroom, public toilet, kitchen, dinning na big sitting room. Pia ina servant quarter. Shs. 300,000/- kwa mwezi
 
Sale without price tag=stupidity
 
yani nikapange nyumba moshi 300000 labda sina akili timamu
 
yani nikapange nyumba moshi 300000 labda sina akili timamu

pooole ...hahahahahah ni wewe usie nazo hizo ndo wapata shiiiiiiida kwa taarifa wapo wanaopanga hadi 500000 hapa hapa moshi
 
pooole ...hahahahahah ni wewe usie nazo hizo ndo wapata shiiiiiiida kwa taarifa wapo wanaopanga hadi 500000 hapa hapa moshi
watu kama nyie ndio mnatafutiaga watu ban Cie nani kakuambia nimeweka kigezo cha pesa unatokwa mapovu wakipanga za 500000 si wao wewe ungeuliza kwanini usipange moshi kwa hiyo hela sio mipovu ya sabuni kibaaaaao.moshi nimeishi bana tena inawezekana kushinda wewe,mji ambao hauna mzunguko mkubwa wa hela bado sijapanga nyumba ya 300000
 
Last edited by a moderator:
nyumba imepata mteja kwa bei ile ileeeee.... Amsterdam unaitaji mgao:clap2::wave:
 
acha ubishi usiokuwa na tija.
kwa bei aliyoitaja, kwa ukubwa wa nyumba,na kwa eneo la nyummba ilipo, hiyo bei ni sawia, tena ni bei nzuri saaana.
iam only responsible for what i say and not for what you understand valid statement
 
Last edited by a moderator:
acha ubishi usiokuwa na tija.
kwa bei aliyoitaja, kwa ukubwa wa nyumba,na kwa eneo la nyummba ilipo, hiyo bei ni sawia, tena ni bei nzuri saaana.
iam only responsible for what i say and not for what you understand valid statement
 
Last edited by a moderator:
Labda amepata mtalii, moshi nimekaa ....hiyo bei ipo inflated sana kwa mtu mjanja hawezi kuingia kichwa kichwa! Information is power!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom