- Thread starter
- #21
Nyumba ya kupanga ipo mbezi juu kupitia massana hospital (mbezi beach).Ipo kuanzia tarehe 1/3/2012. Inamaster bedroom, vyumba vingine viwili, toilet na small sitting rm. Gharama yake ni Tsh 200,000 kwa mwezi. Ipo ndani ya geti na imewekwa tiles ndani. Wasiliana kwa email : kimandolu@hotmail.com
Wakuu hii nyumba imeshapata mteja. Kwahiyo tuonane baada ya miezi sita kama ataongeza muda. Nawatakia siku njema na mpate nyumba isiyona matatizo.