thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,556
Nyumba inapangishwa ipo Kwembe, Mbezi mwisho upande wa ofisi mpya ya manispaa ya Ubungo (Luguruni)
- Ina 2 bedrooms (chumba kimoja master)
- Store, sebule na jiko la kisasa.
- Imezungushiwa ukuta, parking ya kutosha.
- Kilomita 1 toka main road (Morogoro Road), maji ya Dawasa yapo.
- Kodi kwa mwezi laki 2 na nusu.
- Mawasiliano; 0653 568099, 0755 089383 namba za mmiliki siyo dalali.
Msiopajua Luguruni ni vituo takribani viwili toka inapojengwa Stendi mpya ya ma bus ya mikoani Mbezi Louis au stendi ya daladala ya Mbezi Mwisho.
Karibuni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
- Ina 2 bedrooms (chumba kimoja master)
- Store, sebule na jiko la kisasa.
- Imezungushiwa ukuta, parking ya kutosha.
- Kilomita 1 toka main road (Morogoro Road), maji ya Dawasa yapo.
- Kodi kwa mwezi laki 2 na nusu.
- Mawasiliano; 0653 568099, 0755 089383 namba za mmiliki siyo dalali.
Msiopajua Luguruni ni vituo takribani viwili toka inapojengwa Stendi mpya ya ma bus ya mikoani Mbezi Louis au stendi ya daladala ya Mbezi Mwisho.
Karibuni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app