uncledalali
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 249
- 118
Ipo nyumba inauzwa ni nzuri sana ipo ndani ya fensi bei ni 150M iko maeneo ya kawe ni nzuri sana nitafute kwa pm.Nipe bei ya kununua maana natafuta nyumba mbezi
Nyumba ni nzuri sana ila nashindwa kuattach picha hapa jf kwani sijui jinsi ya kuweka nitumie no yako nikutumie whaspHiyo ya m150
Kawe ipi hyo??
Vyumba4 (kimoja Masta), Sebule, Jiko, Choo za Public Mbili. Inawekwa Paved block, Maji yapo ya Dawasco na garage.
Bei Laki6/Mwezi
Call 0752953860
Tatzo la madalali,hua wanaongeza bei ya kodi ya nyumba au chumba,kabla sijahama sinza,nilikua nalipa laki 4 nyumba nzima,vyumba 3,kimona master,maji ndani,jiko na store,ndani ya gate
Nikatafita nyumba bahari beach the same na ya Sinza,dalali akaniambia laki 5! Uzuri mtoto wa mwenye nyumba nilisoma nae,nikaomba anipeleke kwa mshua wake,akaniambia kodi ni laki 3,tena unaweza lipa kwa miezi 3,6,9,12!
Madalali acheni kupandisha kodi za nyumba,kumbukeni maisha yana panda na kushuka,nashukuru mungu mwakani mwezi wa 1,nahamia kwangu lasimi,hizi nyumba hizi tatxo
Nyumba ni nzuri sana ila nashindwa kuattach picha hapa jf kwani sijui jinsi ya kuweka nitumie no yako nikutumie whasp
Naomba nisaidie na mimi mkuu, mdogo wangu anatafuta chumba kimoja ila kiwe master maeneo ya kunduchi ila sio pale mtongani uswahilini hahha, ndo anaanza maisha
Upumbavu ni kushindwa kudeal na uhalisia wa maisha halisi ya Bongo na kuanza kutukana uhalisia halisi uliopo.
Na kwa hilo naona mwenzangu umequalify kwa kunishinda zaidi. Hongera.
Ushauri unabaki pale pale, tafuta kisiwa kajenge au tafuta nyumba masaki ukapange.
laki 6 mwezi?? you people are you serious chumba 1 master ina maana kila chumba ni zaidi ya laki tobaaaaa