Nyumba inapangishwa,ipo Kimara

Nyumba inapangishwa,ipo Kimara

Igunga Moja

Senior Member
Joined
Aug 5, 2014
Posts
182
Reaction score
23
Nyumba hii ni mpya ina vyumba vitatu,kimoja master.sebule,maji ndani'luku yako mwenyewe.ina gipsum,tairis ndani.ipo ndani ya geti,kodi laki tatu kwa mwezi,mawasiliano 0716 160639.
 

Attachments

  • 1410880823772.jpg
    1410880823772.jpg
    27.3 KB · Views: 414
  • 1410880846630.jpg
    1410880846630.jpg
    20.4 KB · Views: 400
Utanijulisha basi ukipata.. Nakutumia namba yangu kwenye private message..
 
Ipo tabata mawenzi.mil.60!

Ninataka nyumba Segerea au Kinyerezi. Offer 150,000/- kwa mwezi. Nyumba ndogo tu ya vyumba viwili/ vitatu. Sitting room na store. Nyumba ya kawaida tu. Kama ipo ni PM. Miezi 6 ndo kipaumbele. Mwaka italipiwa.
 
Za mchana dada? Nilikua nauliza kama una nyumba ya kununua budget ni 80m??

Kuna moja iko kimara bonyokwa, finishing haijakamilika inauzwa mil 75! NB: Kimara bonyokwa ni km tatu kasoro kutoka kimara mwisho mkono wa kushoto ukiwa unatoka mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom