Hicho choo duuu! WalaaahNyumba inapangishwa 150,000 sebule kubwa chumba na choo ndani kodi miezi 6
ndani ya uzio
ipo kigamboni mikadi kutoka main road mpk nyumba ilipo ni meter 70 ipo pembezoni mwa beach ya mikadi
Mawasiliano 0620149421
View attachment 1901667
View attachment 1901668
View attachment 1901669
View attachment 1901670
View attachment 1901671
Huwezi kuwa serious! Nyumba kwa picha tu inaonekana ina shidaZilifutika bahat mbaya
Mkuu kwa nje ya nyumba kuna vichaka sana, sema tu ukweli. Haziwezi futika picha za nje tuZilifutika bahat mbaya
vyumba ngapi vya kulalA?Nyumba inapangishwa 150,000 sebule kubwa chumba na choo ndani kodi miezi 6
ndani ya uzio
ipo kigamboni mikadi kutoka main road mpk nyumba ilipo ni meter 70 ipo pembezoni mwa beach ya mikadi
Mawasiliano 0620149421
View attachment 1901667
View attachment 1901668
View attachment 1901669
View attachment 1901670
View attachment 1901671
Kwanza kimepinda,Hicho choo duuu! Walaaah
Kwa maelezo yake nimeelewa ni kimojavyumba ngapi vya kulalA?
Mkuu kwa nje ya nyumba kuna vichaka sana, sema tu ukweli. Haziwezi futika picha za nje tu
Sure, kupatana watu wapo serious japo huko ukizubaa unapigwa au kuuziwa kitu kibovu au fakeJf wengi wauzao au kunadi bidhaa ni makuzi, huwezi fananisha jf na kupatana kwa upande wa biashara humu wengi watoto sijui au kutojitambua hata bidhaa zao zina mashaka nyingi.
Jf wengi wauzao au kunadi bidhaa ni makuzi, huwezi fananisha jf na kupatana kwa upande wa biashara humu wengi watoto sijui au kutojitambua hata bidhaa zao zina mashaka nyingi.
Sure, kupatana watu wapo serious japo huko ukizubaa unapigwa au kuuziwa kitu kibovu au fake
Yaani sometimes..kuna vitu humu JF inabidi usivichukulie serious kabisa...Huwezi kuwa serious! Nyumba kwa picha tu inaonekana ina shida