Nyumba inapangishwa 250,000/= kwa mwezi

Nyumba inapangishwa 250,000/= kwa mwezi

Fredrick SEBA

Member
Joined
Aug 13, 2011
Posts
36
Reaction score
5
Nyumba inapangishwa ipo kipunguni A 2km kutoka Banana Ukonga.
Ina vyumba nane haina master ila ina choo ndani, marekebisho machache ndani ya wiki moja tu kwasababu ilikuwa imepangishwa.
Mawasiliano +255763234201 au +255716234201
 
Vyumba 8 Duuh? Si ndo mwanzo wa ndugu kujaa,,,hapo labda upangishe vyumba sio nyumba
 
Ndo nyumba yangu ilivyo jamani na siwezi kuipangisha kwa vyumba kutokana na jinsi ilivyo ndo maana nimeipunguza bei
 
Kichomiz siwezi kuifanya hivyo ni nyumba ya my late father na unajua yanayofanyika guest
 
mi naomba kama kuna chumba au chumba sebule decent mitaa hiyo nistue
 
Ndo nyumba yangu ilivyo jamani na siwezi kuipangisha kwa vyumba kutokana na jinsi ilivyo ndo maana nimeipunguza bei

kama ni nyumba yako vile unasema, nenda benki, au taasisi nyingine za kifedha, kakope. ifanyie marekebisho na uigawe angakau seti tatu hivi. kwanza utaifanya ionekane mpya tena, kisha utapangisha kwa bei nzuri.
 
Vyumba vyote hivyo utashangaa wageni wanahamia jumlaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom