Nyumba inapangishwa 150,000

[QUOTkuna undi umeme, post: 21718819, member: 370934"]Naomba Picha za iyo nyumba 0753505115[/QUOTE]
Mkuu kuna watu wawili wanaenda kuiangalia Leo. Wasiporidhika ntakutumia jioni baada ya kupata jibu.Vumilia hadi jioni; mmoja ni wa humu jf; mwingine anapelekwa na dalali
 
[QUOTkuna undi umeme, post: 21718819, member: 370934"]Naomba Picha za iyo nyumba 0753505115
Mkuu kuna watu wawili wanaenda kuiangalia Leo. Wasiporidhika ntakutumia jioni baada ya kupata jibu.Vumilia hadi jioni; mmoja ni wa humu jf; mwingine anapelekwa na dalali[/QUOTE]
Jioni ndio hii tunasubili picha,picha tumezubili kwa week mbili sasa
 
Nile TE="Jephta2003, post: 21725389, member: 9558"]Mkuu kuna watu wawili wanaenda kuiangalia Leo. Wasiporidhika ntakutumia jioni baada ya kupata jibu.Vumilia hadi jioni; mmoja ni wa humu jf; mwingine anapelekwa na dalali[/QUOTE]
Jioni ndio hii tunasubili picha,picha tumezubili kwa week mbili sasa[/QUOTE]
Nipe namba yako pm nikutumie. Yeye tayari nimeshamtumia. Na kuna mwingine ameenda kuiona kabisa; ameniambia nimpe siku mbili. Kuiona ni vizuri zaidi maana hapa sina picha za kutosha na sipo dar.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…