Nyumba Dodoma, Area D inapangishwa

Nyumba Dodoma, Area D inapangishwa

Ukwaju

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
13,384
Reaction score
11,268
Ni nyumba yenye self/masterbedroom 2, vyumba vi2 single vinatumia choo cha ndani, dinning room moja, sitting moja kubwa car park, servant rooms na uzio mkubwa nyumba ina maji na umeme
Ipo Area D, jirani na Flamingo baada ya duka la Kwa Mosha
Kodi kwa mwezi 300,000/ inatakiwa angalau miezi 6 yaani 1,800,000
Maelezo zaidi nipm
 
Kumbe dodoma kodi za nyumba zimeshafika 300,000/=?
 
Nawashukuru nimeshampata mpangaji wa jimbo lenu ameifurahia na ameridhika atalipa kwa mwaka
 
sehemu zote bei juu nipo eneo moja linaitwa Iringa Road NHC nyumba ya vyumba viwili,sitting room shilingi 150,000/= wanachukua miezi 6
 
Dodoma house rent maximum 150,000 kwa mwezi, huyu ni dalali au anaota au hajui what market value ya vitu ni nini,
IQ ------ F
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom