DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 32,319
- 83,201
Kwakuwa mm nipo Tanzania.Uonyeshwi kila kitu kuhusu ulaya only mambo mazuri
Mifumo inachangia ila sio kwa asilimia 100. Mana kwenye mifumo hio hio mibovu bado kuna watu ni matajiri. Unataka kuniambia hao matajiri walipo Tanzania hio mifumo mibaya wao haiwagusi? Na imewezekanaje wao kua matajiri?Kwakuwa mm nipo Tanzania.
Umasikini wa Africa na Tanzania generally upo catalyst na mifumo na sio hizo habari sijui laana ,nyota n.k
Matumizi ya resources yapo misused
Na kuna mifumo duni
Elimu duni
Na uncivilized so elewa hilo
Vyote but jitihada za mtu binafsi Zina mchango mkubwa sana.Kwakuwa mm nipo Tanzania.
Umasikini wa Africa na Tanzania generally upo catalyst na mifumo na sio hizo habari sijui laana ,nyota n.k
Matumizi ya resources yapo misused
Na kuna mifumo duni
Elimu duni
Na uncivilized so elewa hilo
Labda hujaelewa vizuri. Kwa maelezo ya ndugu yetu, kasema nyota ni ile talanta au kipawa ambacho ni cha asili unazaliwa nacho. Swala la kua tajiri itategemea na akili yako sasa kutumia hicho kipawa chako kukupa huo utajiri. Haimaanishi kua ukiwa na nyota peke yake basi unakua tajiri automatically
Vyote but jitihada za mtu binafsi Zina mchango mkubwa sana.Kwakuwa mm nipo Tanzania.
Umasikini wa Africa na Tanzania generally upo catalyst na mifumo na sio hizo habari sijui laana ,nyota n.k
Matumizi ya resources yapo misused
Na kuna mifumo duni
Elimu duni
Na uncivilized so elewa hilo
Anhaa basi kama ni hivo wangapi wanaimba wakafanikiwa kama huyo diamond? Unataka kuniambia hao wengine hawana juhudi?Hakuna kitu kinaitwa kipawa au talanta you can do anything in this entity so called world .
Kasikilize nyimbo ya kwanza ya Diamond kabla hajapata Fame ukiisikiliza utajua kuwa hakuna kitu kinaitwa kipawa .
Kule ulaya wanachofanya ni kuangalia una passion gani na kuendeleza passion yako .
Hata wewe Leo unaweza kuamua kuwa muombaji , muigizaji , msusi , mkulima , dancer n.k
Jambo lolote unalotaka unaweza kuwa hakuna MTU alizaliwa na akawa destined kwa kitu Fulani ni passion ,efforts and consistence ndo inakufikisha huko .
Vyote but jitihada za mtu binafsi Zina mchango mkubwa sana.Kwakuwa mm nipo Tanzania.
Umasikini wa Africa na Tanzania generally upo catalyst na mifumo na sio hizo habari sijui laana ,nyota n.k
Matumizi ya resources yapo misused
Na kuna mifumo duni
Elimu duni
Na uncivilized so elewa hilo
Ndo mana wengi hatufanikiwi aisee. Uelewa ni mdogo sana. Ndo mana sasaivi tuna madaktari ambao wamesoma udaktari ila kutibu hawawezi. Hainawaji kukutokea hio hali? Au mwalim anakufunisha lakin huelwi ila anakuja mwingine mwenye hana hio taalum na ukamuelewa vizuri sana. Hio sasa ndo maana halisi ya kipawaBidii Yako ndio nyota yako, either uwe na kipaji au usiwenacho
SureNdo mana wengi hatufanikiwi aisee. Uelewa ni mdogo sana. Ndo mana sasaivi tuna madaktari ambao wamesoma udaktari ila kutibu hawawezi. Hainawaji kukutokea hio hali? Au mwalim anakufunisha lakin huelwi ila anakuja mwingine mwenye hana hio taalum na ukamuelewa vizuri sana. Hio sasa ndo maana halisi ya kipawa
Vyote but jitihada za mtu binafsi Zina mchango mkubwa sana.
Mbona wageni wanakuja na begi tupu wanaondoka na mabegi yamejaa pesa.
Usipotajirika tz utatajirika wapi
Tajiri gani mkubwa ambae amefanikiwa kwa njia ya kua chawa? Kama ukishindwa kujibu hilo basi hujaelewa somo kabisaMkuu vipi na hao machawa kina Mwijaku na hao wanaokula rasilimali zetu kila siku vipi wana nyota kali kuliko sisi uku??
Nahisi doctor unachanganya mambo. Huyo rostam, fred na wengineo kama wangekua wamelala tu chumbani unadhani hayo madili ya serikali yangewafata huko chumbani? Ina maana walitika wakapambania hatima yao ndo mana leo unaona matunda ya kazi yao. Shida tunapenda kuona matokeo hatupendi kufuatilia mchakato/process za kupata matokeoMgeni anakuja kuwekeza akiwa na mtaji mkubwa ambao unamfanya Ku-generate profit .
Sasa wewd masikini ambaye haujawahi kukamata hata mil 100 ya kwako unategemea kuwa tajiri kirahisi .
Na ukitaka kujua Tanzania kuwa tajiri sio jambo jepesi. Tazama hao matajiri asilimia kubwa wanafanya Kazi na Serikali direct and indirect ili wawe exempted katika tax n.k
Na wengi wametajirika kwa kushikwa mkono na wanasiasa
Anza na Bakhressa huyu Sera za Mwinyi na sapoti ndo zimemkuza
Fred vunja bei kapata sana tenda za kutengeza sare za police
Akina Lugumi n.k
Dr Mengi wote hao
Rostam Azizi
So eleweni mambo
Utajiri wa kubebwa huwa hatuhuhesabu kama ni utajiri.Mgeni anakuja kuwekeza akiwa na mtaji mkubwa ambao unamfanya Ku-generate profit .
Sasa wewd masikini ambaye haujawahi kukamata hata mil 100 ya kwako unategemea kuwa tajiri kirahisi .
Na ukitaka kujua Tanzania kuwa tajiri sio jambo jepesi. Tazama hao matajiri asilimia kubwa wanafanya Kazi na Serikali direct and indirect ili wawe exempted katika tax n.k
Na wengi wametajirika kwa kushikwa mkono na wanasiasa
Anza na Bakhressa huyu Sera za Mwinyi na sapoti ndo zimemkuza
Fred vunja bei kapata sana tenda za kutengeza sare za police
Akina Lugumi n.k
Dr Mengi wote hao
Rostam Azizi
So eleweni mambo