Hebu nipe line up ya Red StarKwa heshima na taadhima, naienzi hii timu ya kijiweni Mtaa wa Congo ambayo ilishiriki ligi kuu Tanzania Bara na kuwa tishio kwa kupiga mpira na buti.
Rosta Ndunguru na wenzako, tunawakumbukeni sana kwa kuleta na kucheza soka tamu la ushindani nchini mwetu Tanzania